HISTORI FUPI YA NABII TB JOSHUA.

The Synagogue, Church Of All Nations (SCOAN) ni huduma kubwa ya uamsho iliyopo Lagos, Nageria iliyoanzishwa na B Joshua 1987. Kanisa lilianza na waumini wachache sana na kuendelea kukua hadi kufikia Zaidi ya waumini 50 000 na kuanzisha Kituo cha televeseni Emmanuel TV, ambapo Ibada za wiki zinarushwa mubashara kwenye Emmanue Tv hiyo na kuonekana